Menu ›
Burudani
Thu, 7 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kunako Bongo Fleva, wakongwe @therealjongwe (Sugu) na @jidejaydee ndio wasanii waliofanikiwa kutoa albamu nyingi zaidi ikiwa ni zaidi ya miaka 20 tangu wameingia rasmi kwenye sanaa.
Sugu aliyetoka rasmi kimuziki mwaka 1993, anaongoza kwa kuwa na albam 10, ambapo albam yake ya kwanza (Ni Mimi) ilitoka mwaka 1995.
Anayefuatia ni Lady Jay dee mwenye jumla ya albam 9, ambapo ya kwanza ilikwenda kwa jina la (Machozi) na ilitoka mwaka 2001.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live