Menu ›
Burudani
Mon, 12 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hatimae mtoto wa supastaa wa Bongo Movies, Kajala Masanja aitwaje Paula Kajala kwa mara ya kwanza amemtambua, Harmonize kama baba yake hadharani kupitia ukurasa wake wa instagram (Insta Story yake).
Itakumbukwa kuwa wawili hawa wamewahi kuwa katika tofauti kubwa kiasi cha Paula kutomtambua Harmonize kama baba yake wa kufikia.
Paula amemtaja Harmonize kama baba yake akishare kionjo cha wimbo mpya wa Harmonize huku chanzo kikitajwa kuwa anataka kumuumiza mpenzi wake wa awali, Rayvanny ambaye anadaiwa kuwa amerudiana na mzazi mwenzake Fahyma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live