Menu ›
Burudani
Wed, 24 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kudai kuwa ndoa yake na mpenzi wake Zaiylissa, itakuwa ya siri na watu kushindwa kujua itakuwa lini, hatimaye Haji Manara amefunga ndoa na muigizaji huyo siku ya leo Jumatato, Januari 24, 2024.
Baada ya kudai kuwa ndoa yake na mpenzi wake Zaiylissa, itakuwa ya siri na watu kushindwa kujua itakuwa lini, hatimaye Haji Manara amefunga ndoa na muigizaji huyo siku ya leo Jumatato, Januari 24, 2024. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Manara ame-share picha hiyo aikiambatana na ujumbe usemao “Allhamdullillah sasa ni rasmi tutambulike Mr and Mrs Haji Manara”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live