Menu ›
Burudani
Mon, 15 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki, Harmonize alihudhuria sherehe ya ndoa ya Shilole na Uchebe, ambapo ametoa zawadi ya tsh milioni 9 kwaajili ya kununua gari aina ya Noah ili liwasaidie wawili hao katika shunguli zao biashara. Muimbaji huyo wa WCB aliambatana na mpenzi wake, Sarah.
Msanii wa muziki, Harmonize alihudhuria sherehe ya ndoa ya Shilole na Uchebe, ambapo ametoa zawadi ya tsh milioni 9 kwaajili ya kununua gari aina ya Noah ili liwasaidie wawili hao katika shunguli zao biashara. Muimbaji huyo wa WCB aliambatana na mpenzi wake, Sarah.
Chanzo: bongo5.com