Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Harusi ya Shilole: Harmonize amzawadia Shilole gari ya tsh milioni 9 (Video)

Mon, 15 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki, Harmonize alihudhuria sherehe ya ndoa ya Shilole na Uchebe, ambapo ametoa zawadi ya tsh milioni 9 kwaajili ya kununua gari aina ya Noah ili liwasaidie wawili hao katika shunguli zao biashara. Muimbaji huyo wa WCB aliambatana na mpenzi wake, Sarah.

Msanii wa muziki, Harmonize alihudhuria sherehe ya ndoa ya Shilole na Uchebe, ambapo ametoa zawadi ya tsh milioni 9 kwaajili ya kununua gari aina ya Noah ili liwasaidie wawili hao katika shunguli zao biashara. Muimbaji huyo wa WCB aliambatana na mpenzi wake, Sarah.

Chanzo: bongo5.com