Menu ›
Burudani
Tue, 21 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii na C.E.O wa Nextlevel music Rayvanny amefika nyumbani kwa Harmonize usiku huu kuifata tuzo yake aliyoshinda Marekani kwenye Tuzo za AEAUSA, pia alipata nafasi yakufanya Maojiano (Interview) na waandishi wa habari nakufunguka mambo kibao.
Hii ni tuzo aliyoshinda Rayvanny katika kipengele cha best Collaboration kupitia video yake ya Mama Tetema aliyoimba na Maluma.
Rayvanny na Harmonize wamethibitisha kuwa soon wataachia kolabo yao; "Mamaaaaa, ayaaah... (walijibu kwa pamoja), hiyo kolabo ipo tena mbili."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live