Menu ›
Burudani
Mon, 28 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Hit Maker wa Ngoma ya #SingleAgain ambayo kwa sasa kupitia YouTube inefikisha watazamaji milioni 20 amefunguka kuwa watazamaji hao sio wa kununua.
Harmonizr amesema kuwa anazijua video zilizotumia maroboti kupata watazamaji wengi na huenda akawaumbua wanaofanya hivyo siku akianza kutumia pombe tena.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live