Menu ›
Burudani
Mon, 13 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul 'Harmonize' amesema kutokana na heshima aliyopewa ya kushinda tuzo tatu, ataandamana kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwake Gonde Gang Village.
Staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul 'Harmonize' amesema kutokana na heshima aliyopewa ya kushinda tuzo tatu, ataandamana kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwake Gonde Gang Village. Harmonize ameshinda tuzo za AEUSA zilizotolewa nchini Marekani hivyo kutangaza kupitia ukurasa wake wa instagram kuwa atakaporejea, furaha zitaanzia Airport hadi nyumbani kwake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live