Menu ›
Burudani
Fri, 18 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa supastaa wa Bongo Fleva, Harmonize aitwaye Chppa amedai kuwa msanii huyo hatumii kilevi cha aina yoyote kama ambavyo watu wamekuwa wakimdhania Mmakonde huyo.
Choppa amesema hayo wakati akihojiwa na chombo kimoja cha habari nchini Tanzania kisha kuulizwa swali kuhusu maisha ya Harmonize kama anatumia kilevi au la.
“Huwezi amini Harmonize hanywi tungi na muda mrefu sana ame dedicate muda wake kwenye kazi,“ amesema Choppa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live