Menu ›
Burudani
Wed, 15 Sep 2021
Chanzo: eatv.tv
Harmonize hachoki kupika kazi mpya kila siku, wakati akiendelea na tour yake Marekani ameingia studio kupika albamu mpya na mtayarishaji wa muziki Mr Simon kutoka nchini Norway.
Kupitia insta story yake ame-share video akiwa studio na mtayarishaji huyo huku akisikika akisema kuwa albamu ijayo ambayo itakuwa ni ya tatu itaitwa “Arizona” kwasababu ameipika akiwa katika jimbo hilo linalopatikana katika mji mkuu wa Phoenix.
Taarifa zinasema albamu yake ya pili “High School” tayari imekamilika na kinachosubiriwa ni kuachiwa tu.
Chanzo: eatv.tv