Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Harmonize awapa neno wasanii chipukizi

HARMOS Harmonize awapa neno wasanii chipukizi

Fri, 10 Jul 2020 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

STAA wa bongo fleva, Rajab Kahali ‘Harmonize’ amewaasa wasanii chipukizi kuto lewa umaarufu kwani kunaweza kuua vipaji vyao.

Akizungumza na MTANZANIA jana, alisema kitu ambacho kinawafanya wasanii kushindwa kuendelea juu katika kazi zao ni kulewa umaarufu.

“Kitu ambacho wasanii chipukizi wanatakiwa kuwa makini nacho ni kuto lewa umaarufu kwani unaua vipaji vyao, hivyo wanatakiwa kuwa makini,” alisema Harmonize.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live