Staa wa Bongo Fleva, Harmonize ametangaza tarehe ya kuachia Album yake mpya ni tarehe 25 mwezi huu kwenye ukumbi wa Mlimani City huku akisindikiza na kusisitiza jinsi alivyo na hamu ya kuachia album hiyo kwasababu maandalizi yake yalikuwa ya kitofauti sana.
Staa wa Bongo Fleva, Harmonize ametangaza tarehe ya kuachia Album yake mpya ni tarehe 25 mwezi huu kwenye ukumbi wa Mlimani City huku akisindikiza na kusisitiza jinsi alivyo na hamu ya kuachia album hiyo kwasababu maandalizi yake yalikuwa ya kitofauti sana. Hadi sasa #Harmonize ana Album 3 AfroEast, High School na Made For us, hii inayokuja unatamani iwaje?