Menu ›
Burudani
Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kupitia Instastory yake Harmonize ametangaza kuachia Album mbili ndani ya siku moja kabla ya mwaka 2023 kukatika.
Kupitia Instastory yake Harmonize ametangaza kuachia Album mbili ndani ya siku moja kabla ya mwaka 2023 kukatika. Sambamba na hilo Harmonize amefunguka kuwa ataachana na kutoa Album kwakuwa kwenye upande huo hakuna ushindani mkubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live