Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali maarufu kama Harmonize amesema kuwa kwa sasa anawazidi wapinzani wake kila kitu.
Harmonize ambaye kwa sasa aanatamba na mpenzi wake mpya, Jacqueline Obed maarufu kama Poshy Queen.
Msanii huyo amedai kwamba kwa sasa amewazidi kila kitu wapinzani wake kuanzia kutoa nyimbo hit mpaka kuwa na demu mkali kuliko demu wa Diamondi Platnumz pamoja na Alikiba.
Nini maoni yako kuhusu kauli ya Harmonize?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live