Menu ›
Burudani
Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Konde Boy Rajabu Abdul 'Harmonize' haishiwi matukio, safari hii amekuja na jipya la kuposti kipimo cha ugonjwa wa Ukimwi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, ameposti katika eneo la Insta Story picha ya kipimo hicho ambacho inaonesha tayari ameshapima lakini hajasema chochote kuhusu majibu ya kipimo hicho.
Hii si mara ya kwanza kwa Harmonize kupima na kuanika majibu kipimo hicho mtandaoni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live