Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Harmonize anufaika na bifu lake na Harmonize

Harmonize: Sijajua Kama Diamond Naye Alishinda Tuzo Za AEAUSA Bato la Diamond lamnufaisha Harmonize

Mon, 12 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Konde Boy anaonekana ana ‘bato’ na Diamond inamsaidia Konde Boy kuliko Diamondi. Kumbuka DMX na Jah Rule ‘bato’ lao lilimsaidia zaidi Jah Rule na kumtuliza DMX. ‘Bato’ la 50 Cent na Rick Ross pamoja na Kanye West. Wote walimtuliza 50 Cent. Naamini Diamond hakutaka limtokee hilo.

Kitu chochote kikiwa na upinzani watu huegemea upande mmoja. Mara nyingi huegemea upande ambao unaakisi unyonge. Kila ngoma ya Konde Boy, hubebwa na mashabiki wa Diamond. Wale wa kutaka kujua ana jipya lipi Konde?

‘Ene wei’ hizi ‘kiki’ zinaharibu sanaa. Zimevuka mipaka mpaka kuumizana nafsi, waache hizi pigo za ‘kiki’ zaidi kutupa muziki mzuri. Acha muziki mzuri utengeneze ‘kiki’ na siyo ‘kiki’ zitengeneza muziki.

Mtaani kuna bato la 'I Made It' ya Konde Boy na Mapozi Remix ya Mr. Blue. Lakini Blue hana shida na Konde, tatizo kwenye ngoma kuna Diamond.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live