Menu ›
Burudani
Fri, 24 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Story kubwa ya leo ni suala la Mwanamuziki Harmonize kumualika Mwanamuziki wa WCB Zuchu kwenye uzinduzi wa Album yake aliyoipa jina la Muziki wa Mama Samia.
Story kubwa ya leo ni suala la Mwanamuziki Harmonize kumualika Mwanamuziki wa WCB Zuchu kwenye uzinduzi wa Album yake aliyoipa jina la Muziki wa Mama Samia. Hivi karibuni Harmonize na Zuchu kwenye mitandao ya kijamii walionesha hali ya kutofautiana ila wameamua kuungana kwa pamoja katika uzinduzi wa Album hii ambapo Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live