Menu ›
Burudani
Mon, 7 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Dada wa @diamondplatnumz, @_esmaplatnumz kuingia Instalive na kumwaga sifa kwa wanaume wa Kimakonde kuwa hawana tabia za kulelewa na wanawake bali wao hupenda kuwatunza wanawake zao, basi kauli hii imemkosha mmakonde @harmonize_tz
Kupitia akaunti yake ya Instagram @harmonize_tz amepost video hiyo kwenye Instastory na kuisindikiza na ujumbe uliosomeka "She Said It All!!!Mnafeli Wapi Dada Zetu"
Vipi kwani kuna mtu ana wasiwasi na @harmonize_tz kwenye suala la kumtunza mpenzi wake?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live