Staa wa Muziki Rajabu Abdul 'Harmonize' ameonekana akiwa amefuta Tattoo ya Picha ya aliekuwa Mpenzi wake Kajala Masanja na mtoto wake wa kufikia Paulah aliokuwa amechora kwenye mguu wake wa kulia.
Staa wa Muziki Rajabu Abdul 'Harmonize' ameonekana akiwa amefuta Tattoo ya Picha ya aliekuwa Mpenzi wake Kajala Masanja na mtoto wake wa kufikia Paulah aliokuwa amechora kwenye mguu wake wa kulia. Kupitia video alioishare katika ukurasa wake wa Instagram akiimba Wimbo wake mpya wa Single Again ukitazama vizuri katika mguu aliokuwa amezichora, sura hizo kuna Tattoo nyingine ameichora juu yake.