Menu ›
Burudani
Sun, 7 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mara ya kwanza Staa wa muziki Harmonize amefunguka kuhusu sakata linaloendelea baina yake na aliekuwa Dj wake DJ Seven.
Kupitia instastory ya Harmonize amedai kuwa sio kweli amemchukua mwanamke wa Dj Seven licha ya kuwa na tamaa ya wanawake wenye makalio makubwa.
"...hata nice na tamaa vipi siwezi shea na ndugu hata kama kweli napenda mizigo," aliandika Harmonize kwenye Instagram.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live