Menu ›
Burudani
Sat, 19 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva Rajabu Abdul 'Harmonize' ameweka wazi kuwa ametumia takriban shilingi milioni 70 kushuti Single Again Remix.
Harmonize amefunguka hayo mapema hii leo alipokuwa akifanyiwa mahojiano ya moja kwa moja na Clouds FM nyumbani kwake Salasala jijini Dar.
Wimbo huo ambao amemshirikisha Ruger, ameuachia mapema Agosti 18, 2023 na tayari unakimbiza kwa kutazamwa huko mjini YouTube.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live