Menu ›
Burudani
Tue, 21 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki Harmonize amefunguka kuhusu Tuzo ya #Aeausa aliyoshinda Staa #DiamondPlatnumz na kusema kuwa hajajua kama Staa huyo nae alishinda Tuzo hiyo kwani yeye alikuwa Backstage akijiandaa na kutumbuiza hivyo hakusikia kama ametajwa.
Akiwa katika mahojiano na #Efm , Harmonize amesema..
"Kiukweli wakati tuzo zinaanza kutolewa mimi nilikuwa Backstage nikijiandaa kuperform kwahiyo kama alitajwa mimi sikujua"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live