Menu ›
Burudani
Mon, 23 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Harmonize au Konde Boy; ni supastaa wa muziki nchini Tanzania ambaye anasema kuwa, kwa sasa ana furaha sana ambayo itaenda kubadilisha hata muziki wake.
Kupitia Insta Story yake, Harmonize anasema; “Mungu ni mwema, sasa nina furaha sana, sasa ngoja uone muziki ninaokwenda kudondosha…”
Je, Jeshi amefanikiwa kulirudisha penzi la mtoto wa Masanja, Kajala Masanja maana hicho ndicho kilichomkosesha furaha kila siku?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live