Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Rajabu Abdul Kahali, Maarufu kama harmonize amefunguka kuwa alikuwa ana mpango wa kufungua media lakini ametapeliwa Bilion 7 na tayari ameshapeleka malalamiko serikalini na wanalifanyia kazi.
Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Rajabu Abdul Kahali, Maarufu kama harmonize amefunguka kuwa alikuwa ana mpango wa kufungua media lakini ametapeliwa Bilion 7 na tayari ameshapeleka malalamiko serikalini na wanalifanyia kazi. " ah nilikuwa na Mpango wa kufungua media lakini nimetapeliwa Bilioni 7 na mpango wangu ukawa umeishia hapo ila teali nishapeleka malalamiko serikalini na asaivi wanalifanyia kazi, lakini pia kwasasa najichanga changa na bado ninandoto na inshallah ipo siku nitafungua ." Amesema Harmonize