Menu ›
Burudani
Fri, 25 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwaka 2018 unaweza ukawa ni wa neema kwa Harmonize. Msanii huyo ameonyesha ngoma nyingine ambayo amefanya na wasanii wakubwa wa Nigeria.
Harmonize kupitia mtandao wa Instagram ameweka video fupi ukisikika wimbo huo ambao ndani yake zinasikika sauti za Mr Flavour na Yemi Alade.
Kwa sasa Harmonize anafanya vizuri na ngoma yake ya Kwa Ngwaru ambapo video ya wimbo huo imetazamwa zaidi ya mara milioni tisa kwenye mtandao wa YouTube.
Loading...
Chanzo: bongo5.com