Menu ›
Burudani
Wed, 12 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, ameonekana kumpigia saluti mkali kutoka Nigeria Burna Boy kwa kumpa namba moja Afrika.
Kutoka kwenye inststory ya Harmonize, amedondoka na na ujumbe huo wa kwamba Burna ndiye msanii namba 1 Afrika.
Harmonize ameshare picha ya Burnaboy akiwa Studio na kuisindika na maneno haya..
"PROUD OF YOU AFRICAN NUMBER ONE"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live