Menu ›
Burudani
Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Harmonize amemtambia bondia Hassan Mwakinyo kuwa ni heri apigwe na mpenzi wake ila sio yeye, Katika charts zao za instagram alimjibu bondia huyo kuwa
"Bora nipigwe na mchumba angu sio wewe Hassaniā - Harmonize
Hii imekuja baada ya Harmonize kusema kuwa yupo tayari kupambana na bondia yeyoye Professional kwa Tsh milioni 255 na bondia Hassan Mwakinyo amesema yupo tayari kumvaa Harmonize ulingoni.
Je, Nani unadhani atampiga mwenzake?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live