Menu ›
Burudani
Mon, 14 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii @harmonize_tz ametupa majibu kwa waliokuwa wasanii wake @officialcheed @officialkilly_tz na @anjella_tz kuondoka Kondegang baada ya kuimba kwamba haikuwa riziki kwa wasanii hao.
Kupitia wimbo wa Champion Remix ya msanii wa HipHop @kontawaa Harmonize amesikika akiimba
"Piga muziki tumebaki wawili haikuwa riziki kwa wanangu Cheed na Killy, Sister Anjella wamemshika akili waambie Kondegang ni jeshi la mtu mbili".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live