Mwanadada anayefanya vizuri kwa sasa kwenye series mbalimbali Bongo Happyness Tarimo '@happiee_reuter1' amefunguka kuwa baba wa mtoto wake ambaye ni msanii Beka Flavor ni mtu mwema na anaonyesha umakini sana kwenye malezi ya mtoto wao.
Mwanadada anayefanya vizuri kwa sasa kwenye series mbalimbali Bongo Happyness Tarimo '@happiee_reuter1' amefunguka kuwa baba wa mtoto wake ambaye ni msanii Beka Flavor ni mtu mwema na anaonyesha umakini sana kwenye malezi ya mtoto wao. "Tumekuwa na tofauti nae ila bado anaonyesha mapenzi na umakini kwenye malezi ya mtoto wetu, ni baba mzuri sana," amefunguka Happyness.