Menu ›
Burudani
Sun, 16 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muongoza wa video maarufu Bongo, Hanscana amesema kuwa miongoni mwa mambo yanayomkera kwenye kazi yake ni wasanii wa kike kushindwa kufuata ratiba wakati anapofanya nao kazi.
#Hanscana amesema kuwa kitendo cha wasanii kuchelewa location hua huwa inamkera kinoma noma na mara nyingi hiyo inatokea Kwa wasanii wa kike.
"Ukimwambia Njoo saa 4 anakuja saa 8, yaani akikuambia Yupo Kwenye Make-up basi utasubiri masaa 7," amesema Hanscana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live