Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2018
Chanzo: millardayo.com
Leo February 8, 2018 Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya usuluhishi na mzazi mwenzake, Diamond Platnumz kuhusu malezi ya mtoto wao.
Hamisa Mobetto amezungumza na AYO TV kuhusu hilo.
ALICHOZUNGUMZA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KESI YAKE NA HAMISA, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA
Chanzo: millardayo.com