Menu ›
Burudani
Fri, 29 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamitindo Hamisa Mobeto amefungukia madai ya kugombana na mpenzi wake kwa kusema sio kweli isipokuw alikuwa na huzuni alipoondoka nchini.
Mobeto alisema, alishindwa kuposti wakati anaondoka kwa sababu ya huzuni aliyokuwa nayo na si kwamba waligombana kama maneno ya watu.
"Sijagombana naye, nilikuwa na huzuni. Nitakuja kuwapostia tu lakini kwa kweli nilikuwa na huzuni tu wakati anaondoka," alisema Mobeto.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live