Menu ›
Burudani
Sun, 7 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki, Hakeem Bamuyu kutoka katika label ya Bana Music ya Barakah The Prince amefunguka kuzungumzia mafanikio aliyoyapata kwa muda mfupi baada ya kuachia wimbo Ungeniambia akiwa na bosi wake Baraka The Prince.
Msanii wa muziki, Hakeem Bamuyu kutoka katika label ya Bana Music ya Barakah The Prince amefunguka kuzungumzia mafanikio aliyoyapata kwa muda mfupi baada ya kuachia wimbo Ungeniambia akiwa na bosi wake Baraka The Prince.
Chanzo: bongo5.com