Menu ›
Burudani
Thu, 31 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Haitham Ghazal Seif 'Haitham Kim' amelazwa kwenye chumba cha uangalizimaalum (ICU) katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Akizungumza mume wa Msanii huyo @niiteboshen amesema kuwa Mke wake mpaka sasa anasiku 7 akiwa amelazwa katika hospitali hiyo akiwa na hali mbaya huku gharama za matibabu zikiongezeka kila siku.
Kwa yeyote atakayeguswa na kumchangia msanii huyo
Namba: 0789635800
Jina: Bryson Peter Mtei (Mtu wake wa karibu).
National Bank of Commerce (NBC) account 011174034416 (Haitham Ghazal Seif).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live