Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

H Baba amwangukia Harmonize tena

H Baba: Nilikuwa Napigwa Na Mpenzi Wangu Wa Zamani H. Baba

Mon, 17 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Miaka miwili iliyopita, msanii nguli wa Bongo Fleva, H Baba alijitoa kwenye familia wa Konde Gang chini ya Harmonize na kuhamia Wasafi chini ya Diamond Platnumz.

Baada ya kuondoka kwa Harmonize, H Baba alitoa maneno mengi machafu na udhalilishaji kwa Harmonize huku akimsifia Diamond Platnumz kwa kumuomba msamaha na kumsujudia miguuni.

Lakini baada ya mambo kwenda ndivyo sivyo tofauti na matarajio yake, familia ya Diamond imekuwa ikionyesha kutokuwa na muda nae, kumnyima upenyo wa kula chungu kimoja.

H Baba ameamua kurejea kwenye kambi yake ya awali ya Konde Gang na bila hiyana Harmonize amempokea kwa mikono miwili baada ya kumpigia magoti na kujutia maamuzi yake ya kuisaliti kambi ya Konde Gang.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live