Menu ›
Burudani
Mon, 29 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
H Baba; ni msanii mkongwe wa Bongo Fleva ambaye anasema kuwa, kwa sasa hawezi kulilia tena pesa anazomdai Harmonize wakati Diamond Platnumz anamlipa pesa nzuri.
H Baba; ni msanii mkongwe wa Bongo Fleva ambaye anasema kuwa, kwa sasa hawezi kulilia tena pesa anazomdai Harmonize wakati Diamond Platnumz anamlipa pesa nzuri. Awali H Baba alikuwa akilalamika kuwa, kwenye kolabo yake na Harmonize na Awilo ya Wimbo wa Attitude hakulipwa hata shilingi moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live