Menu ›
Burudani
Wed, 22 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki Bongo, Hamisi Ramadhan Baba 'H Baba' ametusanua kuwa kwenye mahusiano yake ya zamani alikuwa akipokea kichapo kizito kutoka kwa mpenzi wake.
Staa wa muziki Bongo, Hamisi Ramadhan Baba 'H Baba' ametusanua kuwa kwenye mahusiano yake ya zamani alikuwa akipokea kichapo kizito kutoka kwa mpenzi wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, H Baba ame-share video ikimuonesha mwanaume akipigwa na mwanamke kisha kuisindikiza na ujumbe kuwa kwa sasa anashukuru Mungu hakutani tena na kichapo kama kwenye mahusiano yake ya zamani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live