Menu ›
Burudani
Tue, 18 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkongwe kwenye Bongo Fleva, Hamisi Ramadhani Baba ‘H Baba’ amesema, yeye ni kaka wa hiyari wa kulazimisha wa Diamond na watu wamuelewe.
H Baba ameyasema hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Refresh ya Wasafi TV hivi karibuni.
“Mimi ni kaka wa hiari ya kulazimisha. Unamjua kaka wa kulazimisha. Sio ndugu lakini nimelazimisha,” alisema H Baba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live