Menu ›
Burudani
Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki H.Baba amefunguka kwa hisia kali sababu kutokumaliza ugomvi wake na C.E.O wa Konde Gang, Harmonize.
Ikukmbukwe kuwa, H.Baba alikuwa na urafiki wa karibu na Harmonize kabla ya kuhama na kutua WCB Wasafi kwa Diamond Platnumz.
"Sio rahisi mimi kuwa karibu tena na Harmonize sababu ameniharibia maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana siwezi kumpeleka kumpeleka polisi au mahakamani sababu sisi ni binadamu," alisema H.Baba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live