Menu ›
Burudani
Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, H.Baba amewataka viongozi wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kumfungia msanii mwenzake, Harmonize kwa kile alichokieleza kuwa amekuwa akiwadharirisha wananwake.
Kauli hiyo ya H.Baba ambaye aliwahi kuwa swahiba wa Harmonize kabla ya kuhamia kwa Diamond Platnumz, inakuja ikiwa ni siku chache baada ya ku-trend kwa video ya Harmonize akicheza na mrembo huku akimsogelea kwenye makalio, jambo ambalo H.Baba amelitafsiri ni kama udharirishaji kwa mwanamke huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live