Msanii wa filamu na muziki nchini Tanzania H.baba ameibua mjadala mkukwa mashabiki wa mziki ,ikiwa ni mara nyengine baada ya kuposti tunzo ambayo alimpatia msanii wa muziki konde boy kutoka Konde gang akionekana kumpongeza kwa kupata tunzo hio.
Msanii wa filamu na muziki nchini Tanzania H.baba ameibua mjadala mkukwa mashabiki wa mziki ,ikiwa ni mara nyengine baada ya kuposti tunzo ambayo alimpatia msanii wa muziki konde boy kutoka Konde gang akionekana kumpongeza kwa kupata tunzo hio. Itakumbukwa kuwa hivi karibuni wasanii wa mziki nchini wamepata tunzo AFRIMMA2020 akiwemo Diamond, Nady na Zuchu, mashabiki wanasema kuwa H.baba kama ameamua kumliwaza Konde boy kwa kumposti na tunzo hio.