Menu ›
Burudani
Tue, 24 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Gucci Mane amepigia mstari msemo wa 'Nabii hakubaliki kwao' baada ya kusema hauwezi kupata sapoti na upendo sehemu unayotokea au mji unaotokea mpaka ukiwa nje/mbali na unapotokea.
Gucci Mane anasema sehemu unayotokea ni ngumu watu kuona kipaji chako au ku-push jambo lako tofauti na sehemu nyingine ambayo haujatokea kwa sababu ya wivu na chuki.
Kipi kingine kinasababisha watu wasikubaliwe wanapotokea mpaka wawe nje ya hapo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live