Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Grace Matata, Saida Karoli, Kidumu kutumbuiza Sauti za Busara 2018 (+Picha)

1465 Screen Shot 2018 01 17 At 15.58.54.png TZW

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Wakati wapenda burudani wakijiandaa kusheherekea mafanikio ya muziki kupitia tamasha kubwa Afrika Mashariki la Sauti za Busara ifikapo Febuari 9 hadi 12 mwaka huu, waandaji wa tamasha hilo wamebainisha jumla ya wanamuziki 460 wanatarajiwa kushambulia jukwaa hilo katika eneo la Ngome Kongwe, Mji Mkongwe kisiwani Zanzibar.



Baadhi ya wasanii hao ni Grace Matata, Saida Karoli, Segere Originaal, Msafiri Zawose, Jagwa Music, Leo Mkanyia, Tausi Women’s Taarab, Maulidi ya Homu ya Mtendeni na wengineo.

Baadhi ya picha za watumbuizaji wa Sauti za Busara 2018.





 





 

 

Chanzo: bongo5.com