Menu ›
Burudani
Tue, 13 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Gigy Money ameamua kutoa ya moyoni kuwa beki hazikabi kabisa kwa mpenzi wake wa zamani Crey.
Gigy anasema kuwa X wake huyo ndiye mwanaume aliyemfanya kuona Baba mtoto wake sio mtu muhimu hii ni kwa namna ambavyo alikuwa anampenda na kumjali mtoto.
Gigy ameendelea kwa kusema kuwa ameshindwa kuwa na mwanaume mwengine na akafurahia mahusiano yake toka aachane nae. Kiufupi ameshindwa kumsahau.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live