Menu ›
Burudani
Sun, 12 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva, Gift Stanford 'Gigy' amesema umaarufu una gharama sana tofauti na watu wanavyofikiri.
Gigy ametoa kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM katika kipindi cha Lavidavi.
“Ki uhalisia umaarufu una gharama zake… Kuna faida na hasara japo faida ni kubwa … Usipokuwa makini utaishi maisha kwa ajili ya watu sio kwa ajili yako … Umaarufu unaumiza “ @gigy_money_og
Chanzo: www.tanzaniaweb.live