Menu ›
Burudani
Thu, 19 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Gari aina ya Mercedes Benz, Class C ndiyo itakuwa zawadi ya kwanza ya mshindi wa mashindano ya Miss Tanzania 2022 yatakayofanyika Ijumaa, katika ukumbi wa Mlimani City.
Gari aina ya Mercedes Benz, Class C ndiyo itakuwa zawadi ya kwanza ya mshindi wa mashindano ya Miss Tanzania 2022 yatakayofanyika Ijumaa, katika ukumbi wa Mlimani City. Zawadi hiyo ina thamani ya zaidi ya Tsh Milioni 40 na kitita cha shilingi Tsh milioni 10 na mshindi wa pili ataondoka na Tsh milioni tano, wa tatu Tsh milioni tatu na wanne na watano milioni moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live