Menu ›
Burudani
Sun, 23 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo anayefanya muziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ ameeleza jinsi alivyopata wakati mgumu kufanya kazi na kaka wa Diamond, Rommy Jones.
Amesema alimtafuta Lukamba ili aweze kumkutanisha naye ambapo awali alikubali lakini katikati akazingua hivyo kulazimika kumtafuta mtu mwingine ili amkutanishe naye.
“Nikamtafuta Juma Lokole, nikamueleza ndipo akanikutanisha naye. Sikutegemea na nikaamini ndoto zangu zimetimia. Nikamsikilizisha nyimbo zangu ndio akapenda ya Yote Sawa, tukafanya video,” alisema Gachi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live