Menu ›
Burudani
Fri, 22 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Usiku wa kuamkia leo baby mama wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady amefanya kile ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa muda mrefu, Zari All White Party nyumbani kwao nchini Uganda. Katika party hiyo ambayo ilikusanya watu lukuki Zari aliambatana na Dj wa Diamond, Romy Jons.
Usiku wa kuamkia leo baby mama wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady amefanya kile ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa muda mrefu, Zari All White Party nyumbani kwao nchini Uganda. Katika party hiyo ambayo ilikusanya watu lukuki Zari aliambatana na Dj wa Diamond, Romy Jons.
Chanzo: bongo5.com