Menu ›
Burudani
Sat, 9 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mzee maarufu mtandaoni, Dk. Shika ameamua kutumbukia kwenye kiwanda cha Bongo Flava. Leo amemtambulisha msanii wake aitwaye Godson ambaye atakuwa chini ya usimamizi wake na hivi karibuni kazi zake zitatoka.
Dk. Shika ameeleza kuwa muziki wa Bongo Flava ni kiwanda hivyo ameamua kuanza nacho na ni miongoni mwa vile viwanda 30 alivyotangaza kuvianzisha hapa nchini.
Loading...
Chanzo: bongo5.com