Menu ›
Burudani
Mon, 1 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria, Fireboy ametoa orodha ya ngoma 14 ambazo zitapatikana kwenye albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Playboy.
Albamu hiyo inatarajiwa kutoka Agosti 4, 2022 ikiwa imeshirikisha wasanii wakubwa duniani kama Chris Brown, Ed Sheeran, Rema, Asake na wengineo.
Fireboy DML – Playboy Tracklist Change Bandana Ashawo Playboy Adore Sofri Diana Compromise Timoti Peru Afro Highlife Havin’ Fun Peru Remix Glory.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live