Menu ›
Burudani
Fri, 24 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa miondoko ya Hip Hop Fareed Kubanda "Fid Q" ameshare chats zake na King of the best melody Christian Bella akionesha kuwa wanataka kurudi studio kuleta kibao kipya baada ya miaka 7 tangu watoe ngoma ya kutoa ngoma ya Roho sasa ni wakati wa kupata ngoma mpya ya Tamu.
Tazama mawasiliano ya Fid Q na Christian Bella hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live